.

.

.

.

Thursday, October 29, 2009

MISS TOURISM ILALA WAPEWA MIL.50

Mwandaaji wa Miss Tourism Ilala 2009 Amina Boka wa pili kutoka kulia akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Savannah Lodge katika Hoteli ya City Paradise Mchana huu wakatika kampuni ya Chicken Hunt ambayo ni kampuni mama ya Savannah Lodge na Kampala Unirvesity ilipotangaza udhamini wa shilingi Milioni 50 kwa shindano hilo linalotarajiwa kufanyika Novemba 6 kwenye ukumbi wa Dar West Tabata jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment