.

.

.

.

Saturday, October 17, 2009

NSIA NDASKOI APEWA ZAWADI ZAKE

Balozi wa taji la bodi ya utalii anayefahamika kama Miss Domestic Tourism, Sia Ndaskoi, wa pili kulia, akipokea zawadi ya kompyuta kutoka kwa Mkurugenzi wa bodi ya utalii Peter Mwenguo leo jijini Dar. Mbali ya kompyuta mlimbwende huyo alikabidhiwa hundi yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 2 ikiwa ni mtaji wake wa kusambaza ujumbe wa umuhimu wa utalii wa wananchi. Shoto ni Mwandaaji wa Miss Tz Hashim Lundenga na kulia ni Mkuu wa Itifaki wa Miss TZ papaa Makoye. Katikati ni mama Mmari afisa mwandamizi TTB.

No comments:

Post a Comment