.

.

.

.

Tuesday, December 07, 2010

SALA/DUA JUMAMOSI HII LEADERS CLUB

Je wewe ulikuwa ni rafiki uliyewahi kushirikiana na wale marafiki wa iliyokuwa TAZARA CLUB Pale kinondoni?? Kama ndio basi marafiki hao pamoja na wengine tumeamua kuwaombea dua/sala fupi wale walikuwa wakishirikiana nasi ambao wamefariki kwa kipindi cha miaka 20 mpaka sasa. Kutakuwa na chakula cha pamoja baada ya sala kutoka kwa Padri na Sheikh. Njoo ujumuike nasi.


MAHALA - Leaders Club Kinondoni

SIKU - Jumamosi tarehe 11/12/201

MUDA - Saa 6.30 mchana mpaka 9.00 mchana



Baadhii ya waliotutangulia kwenye haki ni kama ifuatavyo: Ada Sykes, Angela Madondola, Balozi Mbapila, Ben Branco, Hamidu Bisanga, Bupe, Chacha Marwa (Bogus), Charles Lyimo, Charles Mbanwa, Chogy Sly, Costa Teffe, Eddy (Inn By The Sea), Seddy Sally, Emanuel Rweikiza, Eugine Kagolo, Farida Masoli, Frank Mutani, Four Cash, Gasper Akili, Geofrey Dahal, George Mazula, Haji (TANGA), Hamphrey Akena, Hilda (Naomba Shs. 100/-), Ippy Malechela, Jimmy Mahimbo, Joshua International, Juma Ngida, Kalio, Karuhinda, Ndala Kasheba, Kimambi, Kimambo (NCCR) Levis (G8), Majuto (TAZARA), Manfred Kapinga, Mangappy, Mariam Donner Summer, Mavalla, Mbiku,PJ (Paul Mdachi, Rajab Mwajasho, Ramadhan Majungu, Ray Abdu (BABA TUNDE) Rhoda Mbandwa, Rose Hosea, Royal (KUlwa), Rukia Mwajasho, Saad Suleiman (TAZARA), Said Machupi, Sanga, Shaaban Satto, Shaan Aspro, Super Mafuru, Tomkito, Winston, Zaki Aman na Zumu.

Mfanga, Mike Maro, Mine, Emanuel Mbando, Mr. Labany, Mussa Ngoda, Mzee Assey, Mzee Bashwan, Mzee Joseph, Khatibu Siraji, Mujaya, Mzee Mushi, Mzee Samuel, Mzee Shetta, Mzee Soud, Mzee Tegissa, Mzee Yusuf Mandevu, Nassor Malocho, Ndealle Makere, Ng'itu, Nusura, Omary Sykes, Omary Urembo, Othman Maraha (Bahari Beach), Othman Matusi, Othman Rungu (MATAI), Pettie,



No comments:

Post a Comment