.

.

.

.

Saturday, August 23, 2014

PICHA YA LEO


Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiagana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi kabla ya kuondoka katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma baada ya kumalizika kwa kikao cha kamati kuu ya chama hicho majuzi. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Mwigulu Nchemba ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha na wa tatu kulia ni Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama. Picha na Ikulu 

No comments:

Post a Comment