
Wanenguaji wa bendi ya
Akudo Impact wakiwajibika wakati bendi hiyo ilipotumbuiza katika uzinduzi wa Wiki ya Usalama Barabarani mjini Morogoro Jumapili chini ya udhamini wa
Zain ambayo ilichangia zaidi ya sh. milioni 30 kwa Wiki ya Usalama Barabarani na kupewa tuzo na kikosi cha Polisi wa Usalama Barabarani.
No comments:
Post a Comment