.

.

.

.

Tuesday, May 12, 2009

GAZETI LA UWAZI LEO


16 comments:

  1. Huyo ni mchawi anamkata mikono apeleke kwa nani akumuuzie? na yeye kama akikamatwa akatwe pia aone uchungu wake.

    nampa mama pole sana

    ReplyDelete
  2. huyo jamaa afungwe maisha yake yote maana huyo tena sio mume bali ni jagiri kabisa.

    mama venner

    ReplyDelete
  3. anadhalilisha jeshi letu anaidhalilisha pia nchi yetu ...sasa mbona elimu yake na mafunzo havijamkomboa? serikali ni lazima ichukue hatua kali sana iwe funzo kwa watu wengi huo ni unyama

    ReplyDelete
  4. akatwe mkono na afukuzwe kazi na watoto watunzwe na serikali

    ReplyDelete
  5. Mimi ningekuwepo ningeanza kidole kimoja baada ya kingine ili nae apate uchungu alioupata mama wa watu kwani huyo ni mwanajeshi wa kikosi gani?

    ReplyDelete
  6. Naomba serikali ichukue mkono wa sheria yake ili iwe fundisho kwa wale wote wanaopenda kujichukulia mamuzi yao wenyewe.

    ReplyDelete
  7. mpumbavu huyooo....hebu na yeye akatwe mkono aone raha yake..... na apigwe hta mika 50 jela....maana hiyo ni nusu ya kuua

    ReplyDelete
  8. Huo ni ukatili sana,lakini tusilaumu pila ya kupata ukweli halisi.kwani tunatakiwa tuchunguze kwa makini inawezekana hawa jamaa wakiwa wamekubaliana kufanyana hilo suala kwa mapendekezo fulani.Tuzingatie hao ni wana ndoa,hakuna asiyejua mapenzi ya ndoa.mimi ninashauri suala hili tuwaachie jeshi la polisi pamoja na mahakama watupe riport yao na ndipo tuanzi kumtafuta nani mchamwi

    ReplyDelete
  9. sa yeye ambae tunategemea kua ndo msaada wa kututetea wananchi anafanya vitendo kama hivyo sasa sisi tutasaidiwa na nani? nashauli achukuliwe hatua za kisheria na kali sana

    ReplyDelete
  10. Watanzania tutaelimika lini? mali nikufanya kazi kwa bidii na tumwogope muumba wetu vitu vyote mbona tutaviacha tu humu duniani?

    ReplyDelete
  11. Anadiliki kumkata mke wake mikono ndo atashindwa kumfyatulia risasi raia wa kawaida?au huyo nae katumwa na CHADEMA?


    pole sana mama

    ReplyDelete
  12. Naye apewe haki yake ya kukatwa mkono Tu.

    ReplyDelete
  13. HUYU JAMAA APIMWE AKILI SI MTU WA KAWAIDA.

    ReplyDelete
  14. huyo ni mchawi kwa hiyo adhabu yake iwe kifo

    ReplyDelete
  15. Huyo ni katili wa kweli nae akatwe mkono





    ReplyDelete