.

.

.

.

Friday, February 06, 2009

MPENZI MPYA WA WEMA SEPETU AJULIKANA

Ukurasa wa Mbele wa Gazeti la IJUMAA
Anaitwa Jumbe Yusuf Jumbe

17 comments:

  1. wema ajafanikiwa kupata radha anayoitafuta kila anayemtesti bado hajakamilika anavyotaka yeye atafunga ndoa mpaka achanganyikiwe.

    ReplyDelete
  2. dah mtt wa nguvu bt haja2lia kila ashikapo kwateleza

    ReplyDelete
  3. njoo kwangu ntakupa offer ya kuolewa na kingwendu klko dume hilo lilio legea kiasi hicho

    ReplyDelete
  4. huyu mtoto sasa anaelekea pabaya kwa kweli kwa nini asitulie amwombe mMngu wake ampatie Mume mzuri mwenye kueleweka. Jamani nahisi huyu mtoto sibure anapepo la ngono arudi kwa Mungu wake akatubu Ah!!!!!!!!! ama kweli wewe mtoto unaiabisha familia yako embu toka huko ulipo utulie anachana na vituko hivyo kwanza unajichakaza maana huyo mume aeleweki kabisa yupo kama teja jamani!!!!. Haya (mafanikio yako yapo kwa Mungu mwenyewe wacha kuhanjahanja).

    ReplyDelete
    Replies
    1. acha hizo dada tulia utakuja kufa maisha yenyewe mafupi haya

      Delete
  5. Jamani, mbona hatuoni tofauti katiyao! hilo ni dume kweli au ndiyo walewale akina cameron?

    ReplyDelete
  6. ayo mambo tene mwingine tena mpaka mashine itachoka

    ReplyDelete
  7. Dada Wema,si kichaa wala muovu,labda anasumbuliwa nakukosa huduma ya kweli kweli,wale wote wanamupuuzi,ndiyo maana namualika aje kwa email hii apate shauli na Huduma kamilifu zitakazo mzalia matunda.
    Wema atafadhali usikate tamaa,wale wote hawajue kinacho kutesa,sikingine ni fire ya mapenzi.njo kwangu nikupe huduma yenyewe.

    ReplyDelete
  8. Kwa ukweli huyu Dada namuomba amupende yule anayemupenda,aache kutangatanga,atulie,mimi si mtanzania lakini kwa sanii wa kike watanzania nampenda sana,yaani mtulivu sana,namuomba atafute namna iwezekanavyo tuwasiliyane kwa

    ReplyDelete
  9. Wema dada angu ji2lize kwa 7bu u mtoto mzuri 2lia uolewe 2,nakupenda sna bt unajitia ilaa mbaya kila m2 anakusema u kwa ubaya.

    ReplyDelete
  10. dah si bora ungetafuta dume la uhakika kuliko hilo shoga lako?sasa si mtakua mnaangliana tu na kazi itafanyika kweli?yaha ss yetu macho na masikio

    ReplyDelete
  11. hao ni wazinzi tu,hamna haja ya kuwajadili

    ReplyDelete
  12. wema ni rimbukeni wa mapenzi ataishia ku tangaza ndoa

    ReplyDelete
  13. dada yangu kwel ww u2lvu zero utatoka na wanaume wangap

    ReplyDelete
  14. mtaongea sana huyo ndio chaguo lake penzi haliingiliwi awe shoga teja kwani yy hana macho

    ReplyDelete
  15. ama kweli shetani anatenda kazi, kwani huyo mwanaume hajui kwamba wema alishatembea na wanaume wengi? acha wamalizane hamu zao utaona tena kapenda mwingine....

    ReplyDelete