Wadau kusema kweli hali hii inasikitisha kupita kiasi,kwa mtindo huu hata watoto wanaozaliwa hapo wanaweza kutoka salama kweli katika misingi ya yale magonjwa ya kuambukizana haswa katika msongamano kama huu,wengi watasema ati ni umaskini.! ni umaskini kweli huu.!????.Picha hizi kwa hisani kubwa ya mpoki.blogspot.com/
.
.
Wednesday, March 11, 2009
HIVI KWELI VIONGOZI WETU HAWYAONO HAYA ???
Wadau kusema kweli hali hii inasikitisha kupita kiasi,kwa mtindo huu hata watoto wanaozaliwa hapo wanaweza kutoka salama kweli katika misingi ya yale magonjwa ya kuambukizana haswa katika msongamano kama huu,wengi watasema ati ni umaskini.! ni umaskini kweli huu.!????.Picha hizi kwa hisani kubwa ya mpoki.blogspot.com/
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment