.

.

.

.

Tuesday, August 18, 2009

ACP ZOMBE !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Watu hawawezi kuamini wengine wamenuna wengine wanalia. Lakini Ukweli ni kwamba kuna wachache wanaochekelea kusikia kamanda Zombe kaachiwa huru kwa mashitaka ya mauaji na si yeye tu bali washtakiwa wote.Alipotoka nje ya mahakama alilakiwa kama shujaa na baadhi ya watu wakiwamo maaskari ingawa wengie walikuwa wamenuna kichizi.Ukweli ni kwamba yuko huru na ameondoka kama kamanda wa polisi (RPC) ulinzi kibao huku akiwa na ulinzi wa kimulimuli cha polisi na msafara wa watu kibao. Kweli sheria Msumeno

HABARI ZAIDI NA PICHA : http://www.mpoki.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment