.

.

.

.

Friday, August 28, 2009

UPO HAPO !!!


Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Mh. William Lukuvi akimshauri Bw. Saidi ambaye ni dereva wa Taxi wa Temeke,afanye mazoezi na apate lishe bora ili aweze kufuza huo mwili wake huku kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar,Afande Suleiman Kova akisisitiza jambo katika hilo.hii ilikuwa ni siku ya ukaguzi wa taxi zote hapa mjini ikiwa ni pamoja na kupigwa mkorogo ubavuni mwa tax.
Kwa hisani ya michuzijr.

No comments:

Post a Comment