.

.

.

.

Friday, December 03, 2010

CLOUDSFM YAPATA WATANGAZAJI WAPYA

Asmah Makau amejiunga na CLOUDSMEDIA
Regina Mwalekwa ambaye nae amejiengua Radio One na Kujiunga na Clouds FM.
Mdau AhmedMichuzi wa Clouds Media(wa Kwanza Kulia)akiwa katika picha ya pamoja na kutoka kushoto ni Jimy Jam, Arnord Kayanda, Milad Ayo (aliyejiengua radione na itv na kujiunga na clouds Media),Zamaradi Mketema,Gea Habib, na Sophia Kessy

No comments:

Post a Comment