.

.

.

.

Tuesday, August 28, 2012

TASWIRA ZA MKUTANO WA CHADEMA READING JUMAPILI ILIOPITA

 KAMANDA CHRIS LUKOSI AKIMWAGA SERA ZA CHADEMA






 WANACHAMA WAPYA WAKIKABIDHIWA KADI ZAO
MWANACHAMA AKIVISHWA GWANDA NA KADI YAKE TOKA KWA KAMANDA LUKOSI

2 comments:

  1. HUyu Lukosi madawa ya kulevya ameacha lini na kujiunga kwenye siasa?au anafikiri watu hatumjui?mafia sasa wanaingia kwenye siasa kweli maisha ni kama kinyonga leo mwanasiasa,yetu macho.Wadau wasio mjua huyu ni mafia wa kutupa na deal zake ni unga hapo London,sasa kapata chaka la pili

    ReplyDelete
    Replies
    1. Haa kumbe hatakiwi kujiunga na chadema au chama cha siasa? hiyo sheria ipo wapi? mbona kuna watu wachafu wa dowans,meremeta,richmond mpaka leo ni waheshimiwa wakubwa sana ktk lichama letu tukufu! acha majungu bwana

      Delete