.

.

.

.

Sunday, March 20, 2016

MISS TANZANIA 2016 YAZINDULIWA RASMI

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye 
 Waziri akiwa katika picha ya pamoja na Kaamti ya Miss Tanzania, na Katibu Mtendaji wa Basata, Mwita Gesimba
 Waziri akifurahia wakati wa uzinduzi huo
 Miss Tanzania anayemaliza muda wake, Lilian Kamazima, (mwenye taji), akiwa katika picha ya pamoja na watangulizi wake. 


 Waziri Nape akizungumza na Hashim Lundenga, (kulia)
 Msanii wa Bongo Flava, Lina akiimba kwa hisia
 Waziri akipewa "Breafing" maelezo kwa kifupi kuhusu tukio hilo, muda mfupi baada ya kuwasili 
Wadau


 Katibu Mkuu wa Kamati ya Miss Tanzania, Bosco Majaliwa, (kulia) na baadhi ya wajumbe na wadau
 Miss Tanzania anayemaliza muda wake, Lilian Kamazima akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa kamati
 Kikundi cha Wanne Star
 Lundenga akitoa hotuba, (kulia) ni Lilian
 Waziri Nape, akisalimiana na mmoja wa wajumbe wa kamati ya Miss Tanzania, Almish Hazal
 Hoyce Temu, (katikati), akizungumza wakati wa Breafing 

No comments:

Post a Comment