Kundi la Jahazi Modern Taarab jana liliweza kukonga nyoyo za wapenzi wa muziki wa taarab Uingereza katika onesho lake lililofanyika katikaa ukumbi wa Silverspoon, uliopo pembeni ya uwanja wa mpira wa Wembley.Katika onesho hilo mahsusi kwa ajili ya sherehe ya miaka 47 ya Uhuru wa Tanzania lilihudhuliwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mwanaidi Sinare Maajar

Ijumaa ijayo tarehe 19/12/08 watakuwa katika ukumbi wa Lahore uliopo pembeni kidogo ya Job Centre,katikati ya mji wa Leicester.
Jumamosi taraehe 20 watakuwa Birmingham
Jumapili watawaaga wapenzi wao wa Uingereza katika onyesho lao la mwisho litakalofanyika Milton Keynes.
No comments:
Post a Comment