.

.

.

.

Thursday, January 29, 2009

SIMULIZI ZA KUOGOPESHA !!!

ZIPO simulizi nyingi zinazoelezea hatari mbalimbali. Wapo wanaotumia joka hatari kama nondo mla watu; wengine hutumia mijitu ya miraba minne inayoishi mapangoni; na wengine hutumia majina ya wanyama wakali.
Inashangaza kuwa hata leo, yapo majina au vitu ambavyo vikitajwa tu huonekana ni vya kutisha kama mijitu; nondo na wanyama wakali.
Kampuni ya Kagoda Agriculture Limited, moja ya makampuni 22 yaliyochota kwa njia haramu Sh. 133 bilioni kutoka Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ilioko Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ni mfano wa ninachokieleza. Inaweza kutajwa kama moja ya vitu vya kuogofya.

ENDELEA.......http://www.mwanahalisi.co.tz/index.php?id=24

No comments:

Post a Comment