.
.
Tuesday, July 28, 2009
WACHANJAJI WA MKWANJA ATM ZA BONGO
Polisi wakiwalinda Raia wawili wa Bulgaria wanaotuhumiwa kuiba mamilioni ya pesa kwenye ATM za Bongo. Nedko Stanchav(shoto) na Stela Nedelcheva(kulia) Wakirudishwa Kituo cha kati baada ya kumkataa mkalimani waliyepewa.
Picha kwa hisani ya Yusuf Badi
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment