![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRsL7oSu17ru8y1cJQLtsmjwm7rQ41TmpL-Kk83GmEaUlRrf2zO4UBPqBRZMemwhmbzPg_6C33oK6xH3j298z3BcltdeMVteP4yQOWayoBn_0FSW033EbxVglvSf-4aceY5S0LsDkA6n4/s400/mwanza_810.jpg)
Wakati huo huo Rais Kikwete amemteua Balozi Nicholas Alfred Kuhanga kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo kwa kipindi kingine cha miaka minne kuanzia tarehe 1 mwezi wa 11 mwaka 2008.
Aidha Profesa Idris Kikula ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) kwa kipindi cha miaka minne kuanzia tarehe 29 mwezi wa kwanza mwaka huu kufuatia Profesa Issa Omari kumaliza kipindi chake cha Uongozi
No comments:
Post a Comment