.
.
Thursday, April 02, 2009
JIMELI BADO KUKWAMULIWA
Meli ya MSC Federica ikiwa imkwama kwa siku ya pili baada ya kuingia pembezoni mwa pwani ya Kigamboni. Inadaiwa ilikuwa almanusura kwani inasemekana ilikuwa ibamize soko la kimataifa la Ferry lakini likaponea kwa jitihada za nahodha wa Jimeli hilo.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment