.
.
Saturday, October 16, 2010
YANGA YAIFUNGA SIMBA BAO MOJA BILA
YANGA FC (Watoto wa Jangwani) jioni ya leo imefanikiwa kuwafunga mahasimu wao wakubwa (Wekundu wa msimbazi) kwa goli moja kwa Nunge kwenye mtanange wa ligi ya vodacom uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza mfungaji akiwa Tegete.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment