.

.

.

.

Wednesday, February 15, 2012

KAMPENI YA KUPAMBANA NA UTAPIAMLO YAZINDULIWA NA SHIRIKA LA " SAVE THE CHILDREN "



Mwanaharakati wa Haki za Watoto na Afya zao Bi. Hoyce Temu akizungumza na wanahabari kuhusiana na kampeni ya kupambana na utapiamlo kwa watoto
Dr. Ellen Otaru Okoedian akitoa mwongozo kwa wawakilishi wa mabaraza ya Wanafunzi kutoka wilaya za jiji la Dar es Salaam katika uzinduzi huo.



No comments:

Post a Comment