.

.

.

.

Monday, January 21, 2013

MAGARI YAHARIBIWA VIBAYA BAADA YA UKUTA KUANGUKA UBUNGO


.
SEHEMU ya ukuta wa kituo cha mabasi ya kwenda mikoani na nje ya nchi cha Ubungo, jijini Dar es Salaam, leo alfajiri umeanguka na kuyaharibu vibaya magari zaidi ya ishirini yaliyokuwa yameegeshwa nje ya eneo hilo.
 
Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Charles Kenyela amesema, idadi ya magari yaliyoangukiwa yanakadiriwa kufikia 24.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Charles Kenyela

No comments:

Post a Comment