.

.

.

.

Saturday, April 13, 2013

BABU SAMBEKE AFARIKI KATIKA AJALI YA NDEGE

Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba ndege  imeanguka ikiwa katika hatua za mwisho za kutua  katika kiwanja cha ndege cha arusha. 

Taarifa zinasema kuwa ndege hiyo ilikuwa na rubani pekee anayejulikana kama Babu Sambeke aliyekuwa anatokea West Kilimanjaro.
 

Taarifa zaidi zinasema kuwa  rubani huyo   amefariki  muda  mfupi  baada  ya  ajali  hiyo  kutoke na   mwili  wake  umekimbizwa   hospitali ya Mount Meru 
...

Maelezo zaidi kuhusu ajali hiyo ni kwamba ndege hiyo ilijaribu kutua baada ya masaa ya kawaida ya kufunga kiwanja(saa 12.30jioni) kupita.
 


Mungu  ailaze  mahali  pema  roho  ya  marehemu

2 comments:

  1. Watanzania hata muende ulaya ni waongo na wazushi.

    1. Babu Sambeke au Ernest Mallya ni rubani yeye mwenyewe na anamiliki ndege zake.

    2. Jamal Babu Sambeke ni mtoto wake ambaye ni Rubani mwanafunzi na mwajiriwa wa JWTZ.

    3. Wakati wa ajali hakuwa na mwanae.

    Muwe makini sana mnapoandika habari ambazo hamjafanyia uchunguzi kwani uongo wenu unaumiza sana wafiwa

    ReplyDelete
  2. NDUGU ZNGU WATANZANIA NA WAPENDA AMANI NAOMBA NIMSAHIHISHE MWANDISHI WA HABARI HII YA MSIBA WA BABU SAMBEKE. SIO KWELI KAMA ALIVYORIPOTI SENTESI YA MWANZO KWA KUTAJA JINA LA RUBANI PEKEE JAMAL. JAMAL SB (NI RUBANI AFISA WA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA MTOTO WA MIAKA 24 AMBAYE NI CAPTENI KWA CHEO CHA KIJESHI)NI MTOTO PEKEE WA BABU SAMBEKE AMBAYE NI RUBANI KATI YA WATOTO WA BABU SAMBEKE. ALIEFARIKI KATIKA AJALI YANDEGE HIYO NDOGO NI MWENYEWE BABU SAMBEKE ALIEKUWA PIA RUBANI ANAENDESHA NDEGE ZAKE KAMA TAJIRI ALIEAMUA KUTOTUMIA VOGUE N.K AKAWA USAFIRI WAKE NI NDEGE NDOGO KWA SAFARI ZAKE ZOTE FUPI NA NDEFU ALITUMIA GARI PALE TU ANAPOKWENDA KIWANJANI, NDEGE HIZO ANAZOMILIKI NI NDEGE NDOGO AMBAZO HUTUA KATIKA VIWANJA VIDOGODOGO KAMA CHA MOSHI MJINI.
    HIVYO ALIEFARIKI NI BABU SAMBEKE MWENYEWE TAJIR WA DUNIANI NA MWANAE JAMAL SB YUPO NA ANAENDELEA KULITUMIKIA TAIFA LA TANZNIA.
    HAMIS BORA

    ReplyDelete