.

.

.

.

Saturday, June 15, 2013

ESHE RASHID NDIYE REDDS MISS MARA 2013

 Mshindi wa taji la Redd's Miss Mara 2013, Eshe Rashid akiwa katika picha ya pozi mara baada ya kuvikwa taji hilo hivi karibuni mjini Musoma mkoani Mara.
  Mshindi wa taji la Redd's Miss Mara 2013, Eshe Rashid (katikati) akiwa katika picha ya pozi mara baada ya kuvikwa taji hilo hivi karibuni mjini Musoma mkoani Mara.Kushoto ni Mshindi wa pili Amina Shabani pamoja na Mshindi wa tatu Marima Joseph. Washindi hawa watashiriki shindano la kumsaka mrem,bo wa Kanda ya Ziwa.

 Hatua ya tano bora waliingia warembo hawa.

No comments:

Post a Comment