.

.

.

.

Friday, July 12, 2013

DR> JUDITH KAHAMA MARO APUMUZISHWA KWENYE NYUMBA YAKE YA MILELE

Gari lililobeba mwili wa marehemu likiwasili katika makaburi ya Kinondoni kwa mazishi
Mume wa marehemu Profesa Maro akiwa katika gari hilo na watoto wake
Profesas Maro akiwasili makaburini
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii akitoa mkono wa pole kwa Profesa Maro
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa mkono wa pole kwa mfiwa
Mama Salma Kikwete akitoa mkono wa pole
Mama Salma Kikwete akimpa pole binti wa marehemu
Rais Kikwete akitoa pole kwa mtoto wa marehemu
Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa pole kwa wafiwa
Pole kwa wafiwa
Pole kwa wafiwa
Sehemu ya waombolezaji


Waombolezaji wakiwa mazishini
Sehemu ya waombolezaji
Watoto na ndugu wa marehemu
Sala ya mazishi
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwa na ndugu wa marehemu
Padri Paul Haule akiongoza mazishi
Profesa Maro akiweka udongo kaburini

No comments:

Post a Comment