.

.

.

.

Sunday, July 28, 2013

MAZISHI YA MAREHEMU MAIMUNA FATMA KARUMBA

Mwili wa  Maimuna ukipelekwa kwenye gari kwa ajili ya maziko mara baada ya swala msikitini. 

Mama Mzazi wa marehmu(katikati) akiwa ameshikiliwa na marafiki zake alipoenda kuangalia kaburi la mwanae baada ya maziko.

Baadhi ya ndugu jamaa na marafiki waliofika kutazama kaburi la marehemu Maimuna Fatma Karumba





Mama mkubwa wa marehemu (mwenye mtandio wa orange) Esther akiweka maua kaburini


Ilikuwa na huzuni na majonzi




Ndugu jamaa na marafiki kaburini

Hans,  Jesse, Hilal  na Meru  makaburini mara baada ya maziko

Mzee Matata

R.I.P Maimuna Fatma Karumba.
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ)


No comments:

Post a Comment