.

.

.

.

Wednesday, July 17, 2013

RAIS MUGABE AWAPIGA MKWARA MASHOGA NA WASAGAJI



RAIS wa Zimbabwe, Robert Mugabe ametoa kali ya mwaka kwa kuwachimba mkwara Mashoga na Wasagaji kwamba wasipotiana mimba ni lazima atawafunga jela.
Mugabe ametoa kali hiyo Ijumaa  wakati akizindua kampeni za chama chake cha kwa ajili ya uchaguzi utakaofanyika mwezi huu.
Isome taarifa nzima ya rais huyo mwenye umri mkubwa aliye madarakani duniani na ambaye wazungu wanamgwaya kwa misimamo yake isiyoyumba.

"President Robert Mugabe on Friday threatened to jail gay and lesbian couples who fail to conceive any offspring as he launched his party’s campaign for this month’s general election.

The Zanu PF leader also attacked bitter rival and coalition partner Morgan Tsvangirai for his bed-hopping habits saying it was inconceivable that such a character could want to lead the country.Mugabe, a rabid critic of homosexuality returned to the theme as he addressed thousands of supporters in Harare’s Highfield township.He said he was shocked to learn that US President Barack Obama had called on African countries to embrace the practice.

The Zanu PF leader said in Shona: “Ndakanzva Obama achiti ah, daimuno muAfrica mabvuma kuti murume nemurume vachate, mukadzi nemukadzi vachate, ndikati nhai nhai, taitoti baba vako zvaari mutema, iwe uneruva neruzivo netsika dzevatema waakunotora zvevarungu futi!
Apparently joking Mugabe added: “So how would they (gay couples) have children?

No comments:

Post a Comment