.

.

.

.

Thursday, August 27, 2015

RAIS SHEIN ZIARANI MKOA WA KASKAZINI PEMBA


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi alipowasili katika uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia)akipata maelezo kutoka kwa Afisa Misitu Asili Jamii Rahika Hamad Suleiman alipowasili katika uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale katika Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia)akipata maelezo kutoka kwa Afisa Misitu Asili Jamii Rahika Hamad Suleiman (katikati) kuhusu utumiaji wa majiko kwa makaanafuu na gesi, alipotembelea maonesho ya kazi mbali mbali katika uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia)akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mkipi Miliki ya Mzambarao takao Salum Mohamed Abdalla (kushoto) alipotembelea maonesho ya kazi mbali mbali katika uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia)akipata maelezo kutoka kwa Bw,Khamis Suleiman Masoud (kushoto) Katibu wa Jumuiya ya kuendeleza ufugaji wa Nyuki na kutunza mazingira,alipotembelea maonesho ya kazi mbali mbali katika sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein (wa pili kushoto)akiuliza suala kwa Bi Khadija Rashid kikundi cha ushirika cha Macho Mane Chake chake Pemba, (kulia) wakati alipotembelea maonesho ya kazi mbali mbali katika sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein (kulia)akipata maelezo kutoka kwa Bw,Awesu Shaaban Ramadhan wa kikundi Jeka cha uhifadhi mazingira kijiji cha Kitogani Kusini Unguja(kulia)alipotembelea maonesho ya kazi mbali mbali katika sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein (kushoto)akipata maelezo kutoka kwa Bi Miza Suleiman Khamis katika Idara ya Misitu na mali Asili zisizorejesheka alipokuwa akiangalia majarida mbali mbali ,alipotembelea maonesho katika sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein akizungumza na wananchi wakati wa sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo,(kulia) Balozi wa Norway Trygve Bendiksby.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia)akiuliza suala kwa Afisa wanyamapori Idara ya Misitu salum Khamis (kushoto) wakati alipotembelea maonesho ya kazi mbali mbali katika sherehe za uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwakilishi wa Balozi wa Norway Trygve Bendiksby wakati alipowasili katika sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Care Tanzania Bw,Paul Daniel (katikati) wakati alipowasili katika sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo,(kulia) Balozi wa Norway Trygve Bendiksby.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein akipanda mche wa muembe Mviringo ikiwa kama kumbukumbu yake wakati sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.
Wananchi waliohudhuria katika sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa mradi huo.
Wananchi waliohudhuria katika sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa mradi huo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein akiteta jambo na Wazi wa Kilimo Mali asili Sira Ubwa Mamboya katika sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.
Baadhi ya Viongozi na Wananchi waliohudhuria katika sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa mradi huo.
Mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Care Tanzania Bw,Paul Daniel (katikati) Mwakili wa Balozi wa Norway Trygve Bendiksby (kushoto) na Waziri wa Ofisimya Makamo wa Pili wa Rais Mohaamed Aboud Mohamed pamoja na Viongozi wengine wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein wakati alipotoa hutuba yake katika sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo. Picha na Ikulu, Zanzibar.

No comments:

Post a Comment