.

.

.

.

Tuesday, March 24, 2009

WANAFUNZI WAGOMA

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Sekondari Lupanga ya Manispaa ya Morogoro wakiwa nje na madarasa yao jana wakiendelea na mgomo wa kutoingia madarasani wakisulutisha kwanza walimu watano wa kiume wa shule hiyo waliokubuhu kwa vitendo vya ngono na baadhi ya wanafunzi wa kike wa waadhibiwe kwanza.

No comments:

Post a Comment