Shindano la kutafuta wawakilishi wa mkoa wa Dar es alaam katika shindano la BSS 2009 litafanyika kuanzia jumamosi mpaka jumapili wiki hii katika ukumbi wa New World Cinema ambapo zaidi ya washiriki wapatao 2000 wanatarajia kujitokeza ambapo mshindi wa mwaka huu anatarajiwa kuondoka na zaidi ya milioni 15 ambazo mshindi wa mwaka jana alijishindia.Kampuni ya simu za mkononi Vodacom ni wadhamini wa shindano hilo linaloratibiwa na kampuni ya Benchmark Production ambapo zaidi ya vijana 8000 wameshiriki katika mchujo huo mikoani kote ambako shindano hilo limefanyika na vijana 35 wameingia raundi ya pili .
.

.

Friday, April 24, 2009
BSS BONGO KUFANYIKA KESHO NA KESHOKUTWA
Shindano la kutafuta wawakilishi wa mkoa wa Dar es alaam katika shindano la BSS 2009 litafanyika kuanzia jumamosi mpaka jumapili wiki hii katika ukumbi wa New World Cinema ambapo zaidi ya washiriki wapatao 2000 wanatarajia kujitokeza ambapo mshindi wa mwaka huu anatarajiwa kuondoka na zaidi ya milioni 15 ambazo mshindi wa mwaka jana alijishindia.Kampuni ya simu za mkononi Vodacom ni wadhamini wa shindano hilo linaloratibiwa na kampuni ya Benchmark Production ambapo zaidi ya vijana 8000 wameshiriki katika mchujo huo mikoani kote ambako shindano hilo limefanyika na vijana 35 wameingia raundi ya pili .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment