
Mtanzania Teddy Kalonga kwa mara nyingine tena anabeba bendera yetu ughaibuni na hivi sasa amekuwa ni mmoja wa warembo wanaowania nafasi ya kuwa mtangazaji Luninga ya SPIKE TV.SPIKE TV ni channel ya Michezo ya wanaume huko Marekani.Teddy anatakiwa kupigiwa kura ili ashinde nafasi hiyo ambayo mwenyewe anasema hajawahi kuifanya maishani na anafurahi akiipata na kuahidi kulitangaza vyema jina la Tanzania.“well, nilienda kufanya interview sikujua kama kutakuwa na mambo ya picha au competitions, ila ndio hivyo nimekuwa mmoja wa washindani” alisema Teddy alipoongea na Spoti Starehe leo. aidha nilimuuliza Teddy kama Channel hiyo inahusika na mambo gani ni michezo tuu ama naye alisema”…mambo mengi kama the most shocking reality things, cars, I mean vitu vingi vinavyopendwa na wanaume mostly”.
Piga kura yako hapa http://www.spike.com/spike-girl/500960
mbona hupost comment zetu inakuwaje?
ReplyDeleteteddy huna mvuto huwezi ukashinda...una makengeza
ReplyDeleteYou knw you gonna get it
ReplyDeleteno matter what they say
GodSpeed Sister...One Luv
- Jayjoe.