Warembo 30 wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2014 jana walitembelea hifadhi ya taifa ya Mikumi mkoani Morogoro kujionea vivutio mbalimbali vya utalii viliovyopo katika hifadhi hiyo ambapo waliweza kujionea wanyama wa aina mbalimbali wakiwepo, Tembo, Twiga, Swala, Viboko na Simba.
Kaimu Mhifadhi Utalii wa Hifadhi ya Taifa Mikumi, Apaikunda Mungure akigawa vipeperushi kwa warembo.

Warembo wakipiga picha na watalii waliowakuta Mikumi.
Punda milia nao walionekana kwa wingi.
Wakisikiliza maelezo juu ya Viboko kutoka kwa Benina Mwananzila.
No comments:
Post a Comment