.

.

.

.

Monday, February 23, 2009

MTOTO ALIEUZWA KWA LAKI MOJA APATIKANA

Fatma Kisawiro akiwa na mama yake mzazi, Tabu William Polisi, Dar es Salaam.
MTOTO mwenye umri wa miezi tisa aliyezua utata baada ya mama yake mzazi, Tabu William(36) kudai kuwa amemuuza kwa sh 100,000 za Tanzania amepatikana akiwa hai Chalinze mkoani Pwani.
Mtoto huyo kwenye picha yake hapo juu amerudishwa kwa mama huyo huyo anayeandaliwa mashitaka ili ajibu tuhuma za kumuuza mwanae.

No comments:

Post a Comment