.

.

.

.

Wednesday, April 29, 2009

KESI YA ZOMBE

MSHITAKIWA wa 12 katika kesi inayomkabili aliyekuwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Abdallah Zombe na wenzake wanane, Bakari Rajab, ameeleza alivyoshuhudia mauaji ya wafanyabiashara watatu wa madini na dereva mmoja katika msitu wa Pande, Dar es Salaam.
Mbele ya Jaji wa Mahakama ya Rufani, Salim Massati, jana Rajab alidai kuwa alishuhudia askari mwenzake Koplo Saad akimpiga risasi mmoja wa watuhumiwa Januari 14, 2006. ZAIDI....

No comments:

Post a Comment