Ibada hiyo uandaliwa kila Mwaka na Kanisa la Westminister Abbey inapofika siku ya Muungano. Kanisa la Westminister Abbey huandaa Ibada kwa Kila Nchi Mwanachama wa Commonwealth zinapofika siku za nchi zao Mataifa yao. Kulia mwa picha ni Bwana David Nginilla, Bwana Amos Msanjila, Mh. Balozi, Mama Mwanaidi. S. Maajar, Dada Caroline Chipeta, na Bwana Clement Kiondo.
.
.
Wednesday, April 29, 2009
SHEREHE ZA MUUNGANO LONDON
Ibada hiyo uandaliwa kila Mwaka na Kanisa la Westminister Abbey inapofika siku ya Muungano. Kanisa la Westminister Abbey huandaa Ibada kwa Kila Nchi Mwanachama wa Commonwealth zinapofika siku za nchi zao Mataifa yao. Kulia mwa picha ni Bwana David Nginilla, Bwana Amos Msanjila, Mh. Balozi, Mama Mwanaidi. S. Maajar, Dada Caroline Chipeta, na Bwana Clement Kiondo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment