.

.

.

.

Wednesday, June 24, 2009

KASHESHE LA USAFIRI MIJI YETU

Wakazi jiji la Dar es Salaam wakisafiri kwa lori kuelekea Msumi, kilomita 10 kutoka Barabara ya Morogoro maeneo ya Mbezi, kutokana na kutopatikana kwa daladala. Sasa kama usafiri jijini Dar es Salaam ndio hivi watu wa mikoa ya pembezoni kama Sumbawanga, Songea ama Kigoma watakuwa wanapanda nini?

HISANI: www.mpoki.blogspot.com

No comments:

Post a Comment