.

.

.

.

Thursday, July 16, 2009

ROSEMARY ROBERT AWA MISS VODACOM KANDA YA KATI 2009


Vodacom Miss Kanda ya Kati 2009, Rosemary Robert (katikati) akiwa na washindi wenzake, mshindi wa pili, Stellah Chidodo (kulia) na watatu, Veneranda Rutta, mara baada ya kutangazwa washindi kwenye shindano hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki kwenye ukumbi wa Kilimani mjini Dodoma. Picha kwa Hisani ya Vodacom

No comments:

Post a Comment