.

.

.

.

Monday, August 31, 2009

KIBOKO YA HA-SHE- EM

Baraka (Kulia) ambaye ndiye mtu mrefu kuliko wote Tanzania akiwa katika pozi na mchezaji Hasheem Thabit (watatu shoto) ambaye anachezea ligi ya NBA nchini Marekani.Huenda Baraka naye siku za mbeleni akafikia alipo Hasheem kwani anafuliwa hivi sasa na kocha Bahati (pili Kulia)

No comments:

Post a Comment