.

.

.

.

Saturday, November 21, 2009

BUSTA RHYMES AWASILI KUKAMUA BONGO USIKU HUU

Mwanamuziki Busta Rymes kutoka nchini Marekani (katikati) akitoka kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu J.K.Nyerere mara baada ya kuwasili uwanjani hapo.Usiku huu anategemea kukamua FIESTA 2009 itakayofanyika katika viwanja vya posta kijitonyama.

No comments:

Post a Comment