.

.

.

.

Saturday, March 20, 2010

USIKU WA MAGITAA KESHO EAST LONDON

Kama kawaida kesho ni Jumapili nyingine tena ile bendi inayopiga miziki ya kitanzania na Afrika ya mashariki na kati kwa ujumla " AFRIKA JAMBO BAND " itatumbuiza kuanzia saa moja usiku katika ukumbi wa CLUBAFRIQUE uliopo Canning Town E16 2QL

NYOTE MNAKARIBISHWA

No comments:

Post a Comment