.

.

.

.

Tuesday, December 28, 2010

JAJI MKUU MPYA TANZANIA

Image
Rais Jakaya Kikwete (katikati) akifurahia jambo na Jaji Mkuu mpya, Othman Chande (kushoto) pamoja na aliyekuwa Jaji Mkuu, Augustino Ramadhan. Jaji Mkuu huyo aliapishwa kwenye Viwanja vya Ikulu, Dar es Salaam. (Picha na Fadhili Akida)

No comments:

Post a Comment