.

.

.

.

Friday, September 09, 2011

PICHA YA LEO

Raia wa Iran, Ali Mirzaei Pirbaksh (kushoto) na Watanzania wanne, Abdul Mtumwa (wa pili kushoto) akifuatiwa na Aziz Juma, Said Mashaka na Hamidu Kitwana wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kusomewa mashitaka ya kukutwa na Kilo 97 za dawa za kulevya aina ya Heroine eneo la Africana Mbuyuni Dar es Salaam. (Picha na Mpiga picha wetu).

No comments:

Post a Comment