.

.

.

.

Thursday, November 03, 2011

SBL KUDHAMINI TUSKER CHALLENGE CUP 2011


Mkurugenzi wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Richard Wells akizungumza na waandishi wa habari katika mkutano wa (CECAFA) wakati alipotangaza udhamini wa shilingi milioni 823 kwa ajili ya mashindano ya Tusker Challenge Cup 2011 yatakayofanyika jijini Dar es salaam hivi karibuni, wanaofuatia katika picha ni Teddy Mapunda Mkurugenzi wa Mawasiliano (SBL) na Ritah Mchaki Meneja wa kinywaji cha Tusker.

No comments:

Post a Comment