.

.

.

.

Tuesday, July 03, 2012

WAREMBO WA MISS VYUO VIKUU 2012




 Warembo wanaotarajia kupanda jukwaani kuwania Taji la Miss Vyuo Vikuu 2012, siku ya Ijumaa wiki hii ndani ya Ukumbi wa Maisha Club, Jijini Dar es Salaam, wakipozi kwa picha ya pamoja nje ya Ukumbi wa Bunge, wakati warembo hao walipofika kutembelea na kujifunza shughuli za Bunge mjini Dodoma Leo. 
 Warembo wanaotarajia kupanda jukwaani kuwania Taji la Miss Vyuo Vikuu 2012, siku ya Ijumaa wiki hii ndani ya Ukumbi wa Maisha Club, Jijini Dar es Salaam, wakipozi kwa picha ya pamoja nje ya Ukumbi wa Bunge, wakati warembo hao walipofika kutembelea na kujifunza shughuli za Bunge mjini Dodoma Leo. 
 Warembo kutoka (kushoto) Migesh Boniface, kutoka Chuo cha CBE Mwanza, Hadija Said Kutoka Chuo cha MSJ, Morogoro, Fina Revocatus na Jane Maluli, wote kutoka Chuo cha IFM, wakipozi na kuonyesha smile la nguvu nje ya Ukumbi wa Bunge.
 Kutoka (kushoto) ni Mrembo Fina Revocatus, Jane Maluli, na Teddy Isaya, wote kutoka  kutoka IFM, wakipozi.

No comments:

Post a Comment