.

.

.

.

Monday, July 16, 2012

ZOEZI LA KUSAJILI MAGARI KWA KUTUMIA MAJINA LAANZA TANZANIA



 
 Kuanzia mwaka mpya wa fedha (2012-2013) Mamlaka ya Mapato Tanzania imeanza kusajili magari kwa kutumia majina ikiwa ni nyongeza ya kutumia namba kama ilivyokuwa imezoeleka na wengi. Pichani juu na chini ni gari la kwanza kupewa usajili huo wa kutumia jina la mmiliki wake.

No comments:

Post a Comment