.

.

.

.

Monday, December 17, 2012

ANUSURIKA KATIKA AJALI MBAYA NA KUFUNGA PINGU ZA MAISHA



Bwana harusi Emmanuel Mwangosi akiwa na mkewe Magreth  Mtebe mara tu baada ya kufunga pingu za maisha jana katika kanisa la Agape jakaranda jijini mbeya
Hii ndiyo ajali aliyopata bwana harusi emmanueli aligongwa na gari aina ya Toyota GX 100  Emmanuel yeye alikuwa anaendesha pikipiki usiku wa kuamkia jumamosi mida ya saa sita nanusu usiku alikuwa anaenda kwenye mkesha kanisani ndiyo ajali hiyo ikatokea maeneo ya mafiati mbeya wengi wa mashuhuda hao walijua mwendesha pikipiki hiyo amekufa papo hapo 

Sasa bana na bibi harusi wanaingia kanisani tayari kwa ibada ya ndoa


Sasa tu mwili mmoja kitakachotutenganisha ni kifo tu jina la bwana libarikiwe
Hapa bwana harusi akimvisha mkewe pete  huku bibi harusi akiwa katika furaha kubwa na kumshukuru mungu kwa kumuepusha mumewe katika ajali iliyotokea
Bwana harusi akipokea cheti cha ndoa toka kwa mchungaji Mwasota


Wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya kufunga ndoa


KWA HISANI YA RICHARD MWAIKENDA

No comments:

Post a Comment