.

.

.

.

Saturday, November 02, 2013

REAL UNIQ TZ YAZINDULIWA

 Mkurugenzi Fabak Fashion, Asia Idarous Khamsin akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa Kampuni ya Real Uniq Tz jijini Dar es Salaam jana usiku. Uzinduzi huo ambao ulijaza umati wa watu katika ukumbi wa Samaki Samaki uliopo mtaa wa Samora.

Kampuni hiyo itakuwa inashughulisha na shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na Utengenezaji wa Matangazo ya Biashara, Modeling/Mitindo Uratibu wa Shughuli mbalimbali pamoja na Mabausa.
Asia Idarous alisema kuwa uwepo wa kampuni hiyo ya kwanza nchini inayotoa huduma hizo italeta ufanisi hasa katika tasnia ya mitindo ambapo hutumia zaidi warembo katika maonesho ya mavazi.
 Mmoja wa mamodel wa kampuni ya Real Uniq Tz akipita jukwaani akiwa amevalia kivazi cha Kanga kilichobuniwa na na Asia Idorous wa Fabak Fashion.
 Asia akiwa na Models waliovalia vazi la kanga za Tanzania kutoka Faback Fashion.
 Burudani kutoka Michael Jackson wa Tanzania ilikuwepo.
 Baaadhi ya warembo walioshiriki shindano la Miss Tanzania 2013 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa uzinduzi huo.
 Hii ndo ilikuwa tatu bora ya Miss Tanzania 2013, Miss Tz, Happiness Watimanywa (katikati) akiwa na Latifa Mohamed (kushoto) na Clara Bayo.
 Zulia jekundu lilikuwepo kwa watu mbalimbali kupiga picha.
 Wadau mbalimbali mbali walikuwepo hapo Samaki Samaki
 Models wa kiume wa Real Uniq wakipozi kwa picha
 Miss Tanzania 2013, Happiness Watimanya (kushoto) akiteta jambo na Mgeni rasmi na Mbunifu wa Mitindo ambaye pia ni Mmiliki wa Kampuni ya Fabak Fashion, Asia Khamsini.
 Daudi Mambya akiweka saini katika kitabu cha wageni
Watu walikuwa nyomi..



KWA HISANI YA FATHER KIDEVU

No comments:

Post a Comment