.

.

.

.

Tuesday, February 17, 2009

KK ............

Rais JK akimtabulisha mwanaye Khalfan Kikwete(8) kwa Rais Hu Jintao wa China muda mfupi kabla ya Rais huyo kutoa mhadhara katika ukumbi wa Diamond Jubilee jana asubuhi jijini Dar es Salaam.Baadaye Rais huyo aliondoka nchini baada ya ziara yake ya kikazi ya siku tatu

No comments:

Post a Comment