.

.

.

.

Friday, July 31, 2009

MAJAMBAZI YAPORA MILLIONI 150,YAUA 1 NA KUJERUHI 13

Majambazi yaliyo na Silaha na mabomu ya kurusha kwa mkono leo asubuhi majina ya saa 5:20 walivamia Benki ya NMB tawi la Temeke na kupora kiasi kikubwa cha fedha. Pia yaliua mlinzi mmoja wa kampuni binafsi ya ulinzi na kujeruhi wengine 13 wakiwamo askari Polisi wawili.

1 comment:

  1. hello... hapi blogging... have a nice day! just visiting here....

    ReplyDelete