.

.

.

.

Wednesday, August 05, 2009

WANENE WA WIZARA YA AFYA

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Prof. Davidi Mwakyusa akizungumza na Naibu Waziri wa Afya Dkt Aisha Kigoda(katikati) na katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi. Blandina Nyoni (kulia) mara baada ya uzinduzi wa mabaraza ya Wataalam wa Huduma za Maabara za Afya na Wataalam wa Radiolojia leo jijini Dar es salaam.

Picha na Aron Msigwa- MAELEZO

No comments:

Post a Comment