.

.

.

.

Thursday, April 07, 2011

KARUME AKUMBUKWA

Rais Jakaya Kikwete (kulia) Rais wa Zanzibar, Ali Mohamed Shein (wa pili kulia), Makamu wa Pili wa SMZ Balozi Seif Iddi (watatu kulia), Spika Ameir Kificho wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar pamoja na Balozi ali Karume (kushoto) wakishiriki ibada ya kumuombea muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar, Hayati Abeid Amani Karume mjini Zanzibar. (PICHA NA FREDDY MARO)
Rais Jakaya Kikwete akiweka shada la maua katika kaburi la muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar na Muungano wa Tanzania, Hayati Marehemu Abeid Karume katika bustani za ofisi za CCM Kiswandui Zanzibar wakati wa maaadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha muasisi huyo. (PICHA NA FREDDY MARO)

No comments:

Post a Comment